Header Ads Widget

Responsive Advertisement

PICHA | HIVI NDIVYO MENGI ALIVYO FUNGA NDOA NA K-LYN MAURITIUS

Just Married.. Bwana na Bibi Reginald Mengi
Mr & Mrs Mengi
Mimi Reginald Mengi naahidi kumpenda Jacqueline Ntuyabaliwe katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe
Akimvisha pete Mkewe
Watoto mapacha wa Mzee Mengi na K-Lynn wakiwa wamebeba pambo maalum lililoandikwa maneno ya Kiingereza yanayomaanisha 'Karibu Bibi Harusi
Watoto wao mapacha


Bibi Harusi Jacqueline Ntuyabaliwe akitembea kwa hatua za kinyonga kujongea mbele ya mashahidi na tayari kwa kusema Yes I do
Mrs Mengi
Nyuso zinaonesha furaha ilivyotawala sherehe hiyo
Picha ya Familia
Mr and Mrs Reginald Mengi wakiwa na nyuso za furaha pamoja na watu wao wa karibuMengi na mke wake wakiwa wamewashika mikono watoto wao mapacha wakati wakitembea kwenye moja ya fukwe za bahari ya Hindi nchini Mauritius ilikofungwa ndoa yaoReginald Mengi akimsaidia mke wake Jacqueline kukata keki ya harusiBibi harusi, Jacqueline na marafiki zake wa karibu wakiwa kwenye furaha kubwa baada ya kiapo cha wanandoa

Post a Comment

0 Comments