Header Ads Widget

Responsive Advertisement

FGM| TARIME WAJIPANGA KUTOKOMEZA JANGA LA UKEKETAJI

PLAN INTERNATIONAL, CDF TACKLE AFRIKA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA TFF WAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKEKETAJI KUPITIA MICHEZO KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WILAYANI TARIME MKOANI MARA.

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KIONGERA KATA YA SUSUNI  WAKIFIKISHA UJUMBE JUU YA KUPINGA UKEKETAJI KUPITIA MAIGIZO JANA .
WACHEZA WA MPIRA SHULE YA MSINGI SIRARI

MWALIMU WA MICHEZO SHULE YA MSINGI KIONGERA ALUBUNUS AKIKOCHI TIMU
WANAFUNZI

MAIGIZO

MRATIBU WA MARADI WA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA UKIWEMO UKEKETAJI , NDOA ZA UTOTONI NA MIMBA ZA UTOTONI ,SHABAN SHABAN KUTOKA SHIRKA LA PLAN INTERNATIONAL AKITOA SOMO LA KUPINGA UKEKETAJI BAADA YA MICHEZO KATIKA SHULE YA MSINGI SIRARI.

WANAFUBZI WA SHULE YA MSINGI KIONGERA WAKISIKILIZA KWA MAKINI UJUMBE WA KUOINGA UKEKETAJI
MRATIBU WA MARADI WA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA UKIWEMO UKEKETAJI , NDOA ZA UTOTONI NA MIMBA ZA UTOTONI ,SHABAN SHABAN KUTOKA SHIRKA LA PLAN INTERNATIONAL AKIWA NA MPIRA KATIKA SHULE YA MSINGI KIONGERA KABLA YA KUTOA ELIMU JUU YA MADHARA YA UKEKETAJI.
Zaidi ya watoto 3000 kupitia shule za msingi Wilayani Tarime mkoani Mara wanatarajia kupata Elimu juu ya kupinga vitendo vya Ukatili wa kijinsia  ukiwemo ukeketajia, Ndoa za Utotoni na mimba za utotoni kupitia michezo mbalimbali huku wasichana 900 kutoka nje ya shule maeneo mbalimbali wakipata Elimu hiyo kwa lengo la kutokomeza Ukeketaji Wilayani hapa


Shaban shaban ni mratibu wa Mradi wa kupinga vitendo vya ukatiili wa kijinsia kutoka shirika la Plan International akitoa Elimu hiyo katika shule ya Msingi Kiongera na Sirari amesema kuwa wamaeamua kufikia Elimu hiyo kuopitia Michezo kwa lengo la kuwanusuru watoto wa kike ambao wanakumbwa na changamoto ya Ukeketaji.

 Aidha Shabani amesema kuwa mbali na kufikia shule za msingi wanatarajia kuwafikia kufikia baadi ya shule za Sekondari ili kufikisha Elimu hiyo huku wakiwafikia wasichana 900 kutoka Vijiji mbalimbali kwa lengo la kutoa Elimu kupitia Michezo ili kupinga Ukeketaji na Ndoa za Utotoni.
NYIMBO ZENYE UJUMBE WA KUPINGA UKEKETAJI
WAKICHEZA MUZIKI

SHAHIRI
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI SIRARI WAKICHEZA MUZIKI.
WACHEZAJI SHULE YA MSINGI SIRARI



MWALIMU WA MICHEZO SHULE YA MSINGI SIRARI AKIULIZA MASWALAI BAADA YA MCHEZO
MRATIBU WA MARADI WA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA UKIWEMO UKEKETAJI , NDOA ZA UTOTONI NA MIMBA ZA UTOTONI ,SHABAN SHABAN KUTOKA SHIRKA LA PLAN INTERNATIONAL AKITOA ZAAWADI KWAATOTO BAADA YA KUCHEZA VYEMA.

Post a Comment

0 Comments