Una Habari?? Usipate shida ya kupata dagaa wasafi kutoka Kanda ya ziwa..... Mkombozi amefika mlangoni kwako sasa, FRS Ni wasambazaji wa Dagaa watamu kutoka Mwanza, Dagaa hawa ni wasafi na wamekaangwa na wako tayari kwa kula muda wowote! Tunafanya DOOR TO DOOR DELIVERY kwa walioko Dar Es Salaam.... Wahi sasa uweke order yako mapema ili uweze kufaidi utamu wa dagaa hawa Pia ni watengenezaji na wasambazaji wa KEKI za aina zote pamoja na Vinywaji Baridi (JUICE) katika ofisi za Majumbani..........Tunapatikana Mbagala Chamazi....wasiliana nasi kwa namba 0715 714902 / 0752 714902, pia tembelea kurasa zetu katika mitandao ya kijamii tafta jina hili Felista Sarungi.......
TUJARIBU SASA UONE UTOFAUTI.....
TUJARIBU SASA UONE UTOFAUTI.....




0 Comments
Unapenda kuhabarika? Jiunge nasi Katika Twitter na Facebook ili tuhabarishane.
Kumbuka Kuacha maoni yako hapa pindi usomapo habari zetu. Karibu Tena