Header Ads Widget

Responsive Advertisement

FAHAMU | VYAKULA MAALUM KWA AJILI YA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA.

 
Karibu sana mpenzi msomaji wa Blog hii maalum kwa ajili ya kukujuza mambo mengi muhimu kwa maisha yako.
Leo nakuletea vyakula maalum kwa ajili ya kuboresha hamu ya tendo la ndoa kwa wanandoa.

PILIPILI Kama tunavyojua wote mara nyingi chakulaambacho kimeungwa pilipili hufanya hatamapigo ya moyo kuwa tofauti na wakatimwingine hata jasho kutoka au kamasikutoka. 

Kwenye pilipili kuna kitu kinaitwacapsaicin ambacho hufanya pilipili iwe nahali ya ukali ambao huwezesha ubongokutoa homoni ya endorphins ambayokatika hali ya juu huleta mgusu wa hisiaza raha.

 Pia pilipili husisimua mfumo waufahamu (nerves) wa ubongo na katikakufanya hivyo huwezesha kumshwa harakakimapenzi (kunyegeka) na pia ili ukiguswaau kubusiwa au kunyonywa au kupapaswauweze kupata hisia kila sehemu.

 NAFAKA Nafaka zina nyuzinyuzi (fibre) na sukari ngumu(complex sugar) ambazo kusaidia kutunzauzito wa mwili. Nafaka husaidia katikakuzalisha homoni za testosterone kwenyedamu.

 Na pia nafaka huwezesha mtukuwana nguvu hatimaye kwenda masafa marefuwakati wa tendo.

 Kula nafaka nzima kamavile brown bread badala ya white bread,pia kula nafaka halisi badala ya cornflakesni jambo zuri linalokuhakikisha afya njemana mahusiano mazuri ya ndoa yako.

MATUNDA NA MBOGA ZA MAJANI. Mlo wenye matunda na mboga za majaniuna matokeo makubwa sana katika hamuya tendo la ndoa kwa njia nyingi. 

Kwanza matunda na mboga za majani hupunguzakiwango cha mafuta na unene (cholesterol),kuongezeka kwa mafuta mwilini huzuiamzunguko wa damu kwa kubana mishipaya damu. 

Pia kula matunda na mboga zamajani huhakikisha balance ya uzito kwaniunene (obesity) kwa wanaume kunamatokeo mabaya katika kuzalisha homeniza testoeterone na hatimaye jogookushindwa kuwika na kuwa na libidokidogo.

 Na pia wanandoa wanapozidikunenepeana ndipo na hali ya kufurahiaau kutaka au hamu ya tendo la ndoa huzidikupungua. 

TANGAWIZI Tangawizi ni chakula ambacho husisimuasana mfumo wa mzunguko wa damumwilini, na tangawizi zinajulikana sanakwa kusukuma damu kwenda sehemu zaviungo vya uzazi yaani uke na uume.Inaweza kuliwa mbichi, au kupikwa aukuanikwa na kuwa kama unga. 

ASALI Asali ina madini yanayoitwa boron, ambayohusaidia mwili kutumia homoni yaestrogen ambayo ni homoni inayohusika naviungo ya uzazi na mapenzi kwamwanamke. 

Pia kuna utafiti unaooneshakwamba asali huongeza nguvu, kitendoambacho kitapelekea mwanamke kuwauwezo na hamu ya tendo la ndoa au libido.

KARANGA

Karangahuhusika moja kwa moja na kutunzamfumo wa mzunguko wa damu kuwanaafya (vascular system).

 Pia mfumo wenyeafya (mzunguko wa damu) katika ukenauume huwezesha mwanaume namwanamke kupata msisimko wa mapenziharaka hatimaye tendo la ndoa kuwazuri.

Pia karanga zina madini muhimu kamavile magnesium, asidi ya folic na zincambayo ni muhimu sana katika usalishajiwa mbegu za mwanaume.

 OYSTERS Huwa na kiasi kikubwa sana cha madini yazinc na haya madini ndiyo huhusika zaidina uzalishaji wa homoni ya testosteronekwa wanaume.

 Pia imethibitika kwambawanaume wenye ukosefu wa madini ya zinchuwa na matatizo ya nguvu za kiumenawakati huohuo kuwa na madini mengi yazinc mwilini huongeza kiwango chashahawa. 

SOYAPamoja na kuwa na kiwango kidogo sanacha fat na pia kuwa na kiwango kizurichaprotein, soya zina phytoestrogens ambayohusaidia sana wanawake ambao wamefikiamenopause kutengeneza homoni estrogenya ziada.

 Husaidia uke kuwa laini (wet,lubricated) mwanamke akisisimliwa wakatiwa tendo la ndoa.CHOCOLATE
Chocolate ina phenylethylamine, kemikaliambayo husababisha hisia (feelings) zafuraha wakati wa mwanamke aumwanaume kufika kileleni (orgasm )

Post a Comment

0 Comments