Header Ads Widget

Responsive Advertisement

LoveStory | Tanga Raha | Sehemu 4

ILIPOISHIA   

"Ngoja niondoke niende kuoga kisha nikarudi kuimalizia hii movie imenibamba sana"
Akatoka huku akilitingisha kalio lake kubwa ambalo kwenye tenge alilo livaa lilijitokeza vizuri na kuufanya mwili wangu kunisisimka

ENDELEA
Nikaufunga mlango wangu na kuingia bafuni nikanga nilipo maliza nikarudi kukaa kwenye sofa na kuanza kuandika topic(mada) nitakazo fundisha jumatatu nikiwa shuleni
Mida ya saa sita kasoro mlango wangu ukagongwa
"Nani?"
Ilinilazimu kuuliza kwani ni muda wa usiku na bado sikuwa mwenyeji katika mtaa huu
"Mimi mama Fatuma"
"Mama Fatuma yupi?"
"Mama yake mdogo Jumaa nimekuja kuimalizia ile movie"
Nikanyanyuka japo kwa tahadhari na kwena kuufungua mlango.Mama Fatuma akaingia huku akiwa amevalia suruali nyeusi iliyo mbana na kufanya hipsi zaka kupanuka vizuri na kalio lake kubwa kuchomoza zaidi ya nilivyo liona likiwa ndani ya tenge
 
"Karibu mwaya"
"Ile movie bado haijaisha?"
"Bado ila ndio ipo ukingoni kingoni"
Mama Fatuma akakaa kwenye sofa hapo ndipo nikapata muda wa kumtadhimini kuanzia usoni hadi chini.
Machn makubwa mazuri yaliyo legea kama mtu mwenye usingizi yanaendana na pua ndogo kiasi huku na midomo mipana ya wastani yenye meno meupe yaliyo jipanga vizuri.
Sura ya duara ya mama Fatuma ilizidi kumfanya kuwa mzuri zaidi.Macho yangu yakashuka hadi kifuani mwake ambapo kuna chuchu zilizo jalia ila zina ukubwa wa wastani zikazidi kuusisimua mwili wangu na kusabisha bastola yangu kusimama
 
"Labda nikupe kinywaji gani?"
"Una bia baridi?..Ila unaonekana wewe si mnywaji?"
"Nilikuwa ni mnywaji ila kama unahitaji ngoja nikakuchukulie"
"Sawa"
Nikampa rimoti ya Dstv ili hata akihitaji kubadilisha chanel abadilishe.Nikavaa vest na kutoka nje.Ila nikaufunga mlango wangu kwa nje ili hata kama atakuwa na lengo la kuniibia atashindwa
Kwa jinsi mtaa wa Chuda ulivyo na hotel na baa nyingi haikuwa ngumu mimi kutembea umbali umrefu kutoka na ninapo ishi.Nikanunua CARTON mbili za bia za kopo na mzinga mmoja wa VALUE
Kabla sijaondoka eneo la baa niliyopo nikaagizia nyama ya mbuzi ya kukaangwa kilo mbili na kurudi nyumbani.Nikamkuta Mama Fatuma akiwa amejilaza kwenye sofa huku taa akiwa ameizima
 
"Pole mwaya kwa kukusumbua"
"Hapana alafu sikujua kuwa unatumia bia gani?"
"Kwani umenunua bia gani?"
"Castel na Red's ila nimeongezea na mzinga wa Value"
Mama Fatuma akakaa vizuri kwenye sofa na mimi nikakaa huku mizigo nikiiweka juu ya meza.Mama Fatuma akavua nguo yake ya juu na kubakiwa na sidiria
"Nikupe glasi?"
"Hapana hivi hivi inatosha"
Tukaanza kunywa na kuzila nyama,kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo pombe zilivyo zidi kunipanda kichwani.Nikaupeleka mkono wangu kwenye maziwa ya mama Fatuma na kuanza kuyachezea chezea na kumfanya mama Fatuma kulegeza jicho zaidi
Mama Fatuma akasimama mbele yangu huku akijichekesha chekesha.Nikataka kunyanyuka akanirudisha kwenye sofa kwa kunisukuma

"Usiwe na haraka babuu weee acha nikuonyeshe mambo"
Nikabaki nimekaa kwenye sofa huku nikihema kwa nguvu kama simba aliye mkimbiza swala na kumkosa.Mama Fatuma akanigeuzia makalio yake kisha akapanda juu ya na kupiga magodi na kukaa kama mtoto anaye tambaa
Taratibu akaanza kucheza kuendana na mziki unao imba kwenye tv yangu niliyo iunganisha na spika zangu za sabufa na kuufanya mziki kusikika vizuri na kwasauti ya juu.Mama Fatuma akazidi kunipagawisha kwa kalio lake anavyo litingisha huku shanga zake za kiunoni zikitoa kijimlio fulani ambacho kinatokana na jinsi zinavyo suguana

Nikasimama tena na kumshika kiuno chake.Akanigeukia na kunisukuma tena kwenye sofa nikadondoka kama gunia la chumvi.Akasimama kwenye meza huku akiendelea kucheza,akaivua sidira yake na kunirushia usoni
Akaanza kuyashika maziwa yake na kuyabana kwa pamoja na kuanza kuyalamba kwa ulimi wake japo hakuwa anayafikia vizuri.Kwa uchu nilio nao nikajikuta mapigo ya moyo yanakwenda kasi huku kijasho kikinimwagika kana kwamba nimekimbia katika mbio ndefu
Mziki ukabadilika naye akabadilisha mapigo ya kucheza.Akafungua kifungo cha suruali aliyo ivaa na taratibu akaanza kuishusha suruali huku akikijichezesha.Akabaki na bikini aliyo ivaa na kushuka juu ya meza huku jasho likimwagika
 
Akanishika mkono na kuninyanyua.Tukaanza kutembea taratibu na kuingia bafuni kwangu.Akanishika kiuno nami nikamshika kiuno chake chenye shanga nyingi.Akanivua pensi niliyo ivaa nikabaki kama nilivyo zaliwa
"Hizi shanga kazi yake ni nini?"
Akacheka huku akiichezea chezea bastola yangu
"Eddy unataka kuniambia hujui kazi ya shanga?"
"Ndio maana nikakuuliza?"
"Sawa babaangu.Shanga kwanza hupendezesha kiuno cha mwanamke pia isitoshe ukiwa na shanga unaonekana ni mwanamke aliye kamilika"
"Kwa mwanamke asiye vaa shanga kwani hajakamilika?"
"Sio hajakamilika ila hana mvuto.Pia hizi hutuongezea nyege pale mwanaume akiwa anajua kuzichezea"
Kimoyo moyo nikajikuta najiuliza hizi shanga zina chezewaje
"Kusema kweli mimi siwezi kuzichezea hizo shanga"
 "Usijali Eddy wangu utaweza tu"

Mama Fatuma akafungua bomba la mvua na maji yakaanza kutumwagikia na kuzidisha kaujiubaridi kaliko tufanya tukumbatiane kwa nguvu.
Nikavifungua vimikanda vya bikini ya mama Fatuma na mkono wangu mmoja nikaupeleka kwenye kisimi chake na kuanza kukichezea taratibu nikawa nazikumbuka hatua alizo nifundisha Rahma mchana
Mama Fatuma akanigeuza na kunikumbatia kwa nyuma huku na mikono yake akaanza kukichezea kifua changu kipana chenye bustani ya majani ya mapenzi huku akiwa ana vichezea viziwa vyangu.

"Eddy twende kitandani mpenzi"
Tukafika kitandani kama kawaida yake Mama Fatuma akanisukumia kitandani

 ITAENDELEA

Post a Comment

0 Comments