Header Ads Widget

Responsive Advertisement

NEWS UPDATE | HUYU HAPA ALIYEPANGA MAUAJI YA GARISSA UNIVERSTY


: Huyu ndiyo yule gaidi anayeaminika kupanga mashambukizi ya Garissa. Ni Kijana wa miaka 24 tu ambaye alikuwa na mipango ya kujiunga na ISIS ya Syria. Alikuwa mwanafunzi wa law Chuo kikuu cha Nairobi campus ya Parklands.


Post a Comment

0 Comments