Header Ads Widget

Responsive Advertisement

UTEGI | Hatimae Hospital ya Utegi yakabidhiwa majokofu ya kutunza maiti na Mbunge wa Rorya

majokofu yaliyokabidhiwa
Akizungumza kwenye kikao cha baraza LA madiwani mh LAMECK OKAMBO AIRO amewaambia wanainchi was RORYA kupitia kwa wawakilishi wao madiwani kwamba ahadi aliyo waahidi wanarorya ya kukamilisha chumba cha kuhifadhia maiti katika kituo cha afya utegi ameikamilisha kwa kuleta majokofu yenye uwezo was kutunza maiti NNE kwa maramoja nakusema yataanza kufungwa na jumatatu tarehe 14/11/2016 yataanza kutumika 
Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo akikagua majokofu hayo
.
kuhusu swala la BODA BODA ameomba kikutana na maocd wa kanda maalumu roria kuzungumzia jambo hilo na kilipatia ufumbuzi ili vijana waliokuwa wahaligu na sasa wamejiajiri kwa kuendesha bodaboda wasije wakarudi tena kwenye Nazi ya uhalifu tena.
Image result for madiwani rorya
madiwani wakifuatilia mjadala

Akizungumzia swali LA diwani wa kata ya nyahongo mh Richard ndege mkurugenzi Charles chacha amesema swala LA daraja LA ngasaro limesha fanyiwa upembuzi yakinifu na injinia na mchoro kupelekwa tamiseni nakama itapatikana pesa ya dharura litakarabatiwa amemwomba diwani wa nyahongo mh richadi asije akachukua dharura aliyo sema nakufanya daraja hilo likaharibika zaidi kuliko lilivyo hivi sasa na wananchi wakashindwa kupita 


Kuhusu mapato ya halimashauri kutokukusanywa nawatendaji wavijiji na kata ipasavyo kwa kufanya udanganyifu madiwani wameomba ofisi ya mkurugenzi kuwa makini na jambo hilo ili kuwepo na njia mbadala ili mapato yasipotelee kwa watu wachache na kuomba ulinzi uimarisjwe minadani kwani wafanya biashara wanao kuja huwa na pesa nyingi na usalama nimdogo na maaskari unakuta mda huo wakisaka gongo vijijini na kufukuzana na bodaboda

Post a Comment

0 Comments