Header Ads Widget

Responsive Advertisement

USAID WAENDESHA SEMINA YA MFUMO WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA WILAYANI RORYA

Image may contain: 17 people, people smiling, people standing
Mkurugenzi wa Halimashauri ya wilaya ya Rorya Ndg Charles Chacha akifungua semina ya mafunzo haya kwa waratibu elimu wa kata na waganga wa vituo vya vya afya  amewataka kupokea na kufahamu jinsi mfumo huu mpya wa uhasibu ambao kwa sasa utatumika katika kusimamia pesa ambazo kwa sasa zitapelekwa vituoni kwa ajili ya kusimamia na kutoa taarifa iliyo sahihi.
Image may contain: one or more people, people sitting and indoor
Nae mtaalam wa mambo ya uhasibu wa mikoa ya shinyanga na Mara ndugu Ng'wananyamate Mgengeji Langalanga amesema lengo kuu la mradi huu wa uimarishaji mifumo ya sekta za umma (PS3)kupitia ufadhili wa shirika la maendeleo la kimataifa la marekani (USAID) ni kuimarisha utoaji wa huduma bora hasa kwa wananchiwalioko maeneo ya pembenzoni.
 Image may contain: 1 person, sitting and indoor
Akishukuru kwa mafunzo haya waliyo yapata, Mganga mfawidhi kituo cha afya Utegi Judith Manonga amesema kwa mafunzo haya ni mwendelezo mzuri wa sasa kuwawezesha kufanya shuguli katika vituo vyao vya kutolea huduma kuwa na ufanisi mzuri tofauti na siku za nyuma.
Image may contain: one or more people and people standing
Nae mratibu elimu wa kata ya kitembe Lameck Kakoyo amesema kwa mfumo huu wa uhasibu utakuwa mwarobaini ya matatizo yaliyo kuwepo.na kupelekea kutokuwa na uelewa wa mambo ya uhasibu kwa pesa za umma.
Image may contain: 1 person, smiling, sitting and standing
Semina hii imefanyika katika ukumbi wa Soa Hotel rorya
Image may contain: 1 person, sitting and standing
Picha na kituo cha habari na mawasilisno rorya.

Post a Comment

0 Comments