Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Michezo | Yanga Wainasa Saini ya Kinda wa Mbeya City

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya Yanga imefanikiwa kumsajili kiungo wa Mbeya City, Raphael Daud kwa mkataba wa miaka miwili.
Mchezaji, Raphael Daud 
Daud anatarajiwa kujiunga leo katika mazoezi ya klabu hiyo ambayo imeweka kambi yake mjini Morogoro.
Yanga imemsajili Daud kwa ajili ya kuimarisha eneo lao la kiungo ambalo limekuwa na mapungufu makubwa hasa baada ya kumkosa, Haruna Niyonzima kwaajili ya  msimu ujao.
By Hamza Fumo

Post a Comment

0 Comments