Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Hotuba ya Mwisho ya Rais Obama

Rais Barack Obama, Jumanne hii huko jijini Chicago ametoa hotuba yake ya mwisho kuwaaga Wamarekani baada ya kuwatumikia kwa miaka minane.
Obama anaondoka na historia ya kuwa Mmarekani Mweusi wa kwanza kuwa Rais wa nchi hiyo. Ameshika nafasi hiyo kwa mihula miwili
Kwenye hotuba hiyo iliyokuwa imejaa hisia na simanzi, Rais Obama amewataka Wamarekani kulinda demokrasia yao.
Kuhusu masuala ya rangi kwenye hotuba yake Obama amesema: After my election, there was talk of a post-racial America. Such a vision, however well-intended, was never realistic. For race remains a potent and often divisive force in our society. I’ve lived long enough to know that race relations are better than they were 10, or 20, or 30 years ago
Amewataka Wamarekani wa kila kundi kufikiria mambo kwa mtazamo wa kila mmoja na kuwataka wasikilizane. Wafuasi wake walisikika wakipiga kelele ‘miaka mine tena’ lakini kwa tabasamu akawajibu ‘siwezi kufanya hivyo.’
Michelle akimkumbatia kwa hisia kali mume wake Barack Obama baada ya kupanda jukwaani kuungana naye
Kwenye hotuba hiyo, Obama amemuelezea mkewe Michelle: Michelle LaVaughn Robinson, girl of the South Side, for the past 25 years, you’ve been not only my wife and mother of my children, you have been my best friend. You took on a role you didn’t ask for and you made it your own with grace and grit and style and good humour. You made the White House a place that belongs to everybody.
Mastaa wengi wa Marekani wameonesha kumlilia Obama kupitia mitandao ya kijamii na kumpongeza kwa utawala wake. Chini ni miongoni mwao:
Karrueche 
Please don’t go 😢
Jamie fox 
will never forget when you became our president… there will never be another one like you…. class… Compassion… And courage!!!
Michelle na Barack Obama wakiwaaga watu waliokuwa waliohudhuria hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani
Martin Lawrence
Sad to see you go. You served our country with such class and dignity. #Obama #MichelleObama #Hope #YesWeCan #YesWeDid #BlackHistory
Anthony Hamilton
This Is Embedded in My Soul. The Image Of True Black Love. Go On Y’all! Represented Us Well. Let’s continue the legacy.
Malia Obama (kushoto) akiwa na wazazi wake

Young Jeezy
My President was Black! Congrats on 2 Great terms.. You got 10 more days in office. If you could free meech on your way out that would complete 8 years of Legendary run.. @barackobama 💯 Good luck on your future endeavors🙏
First Lady, Michelle Obama akiwa na mke wa makamu wa Rais, Jill Biden
Nas
Barack Obama is one of the Brightest human beings I have ever met. Such an inspiration. The realest human being. The coolest of the cool, always kept his head high through the bad. Fair, strong, wise, a HERO to all people everywhere. Loved by many, missed by all. #salute #HSTRY
Wamarekani wakimuaga Rais Obama walau kwa kumshika tu mkono
Marlon Wayans
Thank you @barackobama for always being a pilar of hope, a conduit for communication, a good hearted, strong willed, example of a man. You and your family have blessed us to dream outside the velvet rope. Thank you so much for your service. You will be missed
Makamu wa Rais, Joe Budden akimkumbatia Obama jukwaani
Ludacris
History has been made. #farewell
Justine Skye
😭😩💔 Thank you for showing the world that anything is possible #YesWeCan #YesWeDid
Joe Budden akiwa ana mkewe Jill pamoja na Michelle na Malia Obama
Madonna
Good-bye Mr. President! 🇺🇸There will never be another one like you! 🙏🏻 Barak Obama you are a King amongst Men
Malia akimkumbatia baba yake Barack Obama
Drake
As a Canadian that calls America home for part of the year I will always carry your words and the memory of your time in office with me as inspiration. Big up yaself O.


Post a Comment

0 Comments