Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Orodha Ya Forbes Ya 30 Under 30,Hawa ndio wasanii waliotajwa kwenye list hii.

Forbes-30-under-30_0
Forbes wametoa orodha ya watu maarufu wenye umri chini ya miaka 30 wanaofanya vizuri kwenye kazi zao tofauti. Producer Hit Boy ’27’  ndio mkubwa zaidi kwa miaka kwenye orodha hii kwa upande wa Hip Hop na mdogo kabisa ni Chance the Rapper ’21’.
 Wasanii wengine waliotajwa ni Big Sean ’26’ , Azealia Banks ’23’. Mike Will Made it ’25’ , Dj Mustard ’24’ na Asap Rock ’26’ .
Kwenye list hii pia yupo Iggy Azalea ’24’ aliyefanya vizuri na wimbo wake wa Fancy mwaka jana, staa wa R&B Jhene Aiko ’26’ FKA Twigs ’26’, Ed Sheeran ’23’ Na Sam Smith ’22’.

Post a Comment

0 Comments