Header Ads Widget

Responsive Advertisement

TASWIRA KATIKA PICHA | BARABARA MBOVU


Ukiwa unaingia Utegi unapokelewa na Taswira ya mji unaokua kwa kasi ndogo, sababu ya yote ni moja: Miundombinu mibovu
Kwenye picha ni barabara ya Utegi-Tarime ikiwa imejengwa chini ya kiwango na kutelekezwa na mkandarasi wake.
Wakati wa mvua barabara hii haipitiki, hivyo kuwalazimu watumiaji wa barabara kuzungukia Buturi hadi kwa Ghachuma ili kwenda tarime.

Post a Comment

0 Comments