Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Utegi | Serikali Yapeleka Tani 500 za Mahindi Rorya, Bei yashuka Chini hadi kufikia Tsh 900 kwa Kilo


UPUNGUFU WA CHAKULA KATIKA WILAYA YA RORYA WAPUNGUA. BAADA YA SERIKALI KULETA ZAIDI YA TAN 500 ZA MAHINDI NA KUFANYA BEI YA CHAKULA KUSHUKA KUTOKA TSH 3800 KWA KILO MBILI NA ROBO NA SASA KUFIKA TSH 900 KWA KILO .NA KWA WAFANYABIASHARA KUINGIZA CHAKULA KWA WINGI NA KWA SASA WAFANYA BIASHARA WANAUZA TSH 2500 KWA KILO MBILI NA ROBO PUNGUFU YA TSH 1300 



Kituo cha habari na mawasiliano Rorya kilishuhudia  wananchi wakiishukuru serikali kuleta chakula cha bei nafuu. kimekuwa mkombozi kwa upungufu wa CHAKULA ulio kuwepo, wengi wa wananchi wanasema kwa sasa CHAKULA sio tatizo tatizo kwa sasa ni upungufu wa pesa kwa wananchi.

Picha na Kituo cha Habari na Mawasiliano Rorya.

Post a Comment

0 Comments